RING THE BELL KARAGWE
Wanaosoma katika shule ya Nyahanga wanadai haki ya elimu kwa walemavu itolewebaada ya shirika lisilo la kiserikali la KCBRP ku fanya kampaini ya Ring the Bell ilio fanyika tarehe 10/3/2016
Flavian Kishekwa
Psycho-social Counselor akizungumza na muwakilisha wa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Karagwe kuhusu kampeini hio kubwa ya kuwezesha watu wenye uemavu kupata haki yao yamsingi yaki katiba.DOWN SYNROME
Watoto wenye ulemavu wa ainaya Down syndrome kwenye picha
Mtoto mwenye ulemavu wa Down syndrome akisoma katika shule ya Nyahanga ndani ya kitengo cha special unity yaani kitengo maalumu kwa watoto wenye ulemavu kwenye shule hio.
.
1 comment:
MMEJITAHIDI SANA HONGERENI
Post a Comment